Waangalizi wa uchaguzi wa AU, wasema wako macho
Published on: July 22, 2017 09:06 (EAT)
Waangalizi wa uchaguzi kutoka muungano wa Afrika wakiongozwa na aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Thambo Mbeki wamesema wamekutaka na washikadau wa uchaguzi na kushauriana kuhusu maandalizi ya uchaguzi ulio huru na wa haki. Waangalizi hao watakuwa humu nchini hadi uchaguzi mkuu ukamilike.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment