Wabunge 348 na maseneta 67 waapishwa
Published on: August 31, 2017 09:16 (EAT)
Bunge limeanza vikao vyake hii leo baada ya kuapishwa kwa wabunge. Hata hivyo kuapishwa kwa wabunge hakukukosa hitilafu na vioja pale ambapo mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino alipoapa kwa jina la Raila Odinga.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment