Wabunge wa Afrika Mashariki wateuliwa
Published on: December 13, 2017 09:06 (EAT)
Kampeini za kusaka viti katika bunge la Afrika mashirika zimeshika kasi, huku watu 25 wakiwania nyadhifa tisa zilizopo. Wabunge wa bunge la kitaifa watapiga kura hapo kesho, huku nduguye kinara wa Nasa Raila Odinga, Dkt Oburu Oginga na mwanawe kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka;Kennedy, aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya utekelezaji wa katiba Charles Nyachae wakipigiwa upatu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment