Wabunge wa Jubilee watakiwa kuidhinsha miswada bila mabadiliko
Published on: August 31, 2016 08:30 (EAT)
Bunge la kitaifa linaendelea kujadili mswada wa kuzifanyia mabadiliko sheria za uchaguzi, unaolenga kufanikisha maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka ujao. Hata hivyo, nipe nikupe imesheheni kati ya wabunge wanaounga mkono pendekezo la kuharamisha mtindo wa wanasiasa kuhamahama vyama baada ya chaguzi za mchujo, na wale wanaopinga pendekezo hilo. Francis gachuri ana vidokezo vya mjadala huo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment