Wabunge wa kaunti wakabana mashati, Nairobi

Vurumai lilizuka katika bunge la kaunti ya Nairobi pale waakilishi wa wodi wa mrengo wa CORD walipomvamia mmoja wao ili kumzuia kuwasilisha hoja ya kumtaka gavana Evans Kidero ang’atuliwe. Zogo hilo lilisababisha kikao cha bunge kukatizwa lakini mjumbe wa viwandani Samuel Nyangwara ambaye ametajwa kama msaliti anasisitiza kuwa hatishiki na anarejesha mswada huo tena bungeni.

Tags:

CORD Nairobi Dr Evans Kidero Wabunge MCAs

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories