Wabunge wa Kenya katika EALA wataapishwa Jumatatu
Published on: December 15, 2017 07:49 (EAT)
Bunge la kitaifa jana jioni liliwachagua waakilishi tisa wa kenya katika bunge la afrika mashariki (EALA). Tisa hao walichaguliwa na wabunge wa bunge la kitaifa na lile la seneti kutoka kwa orodha ya watu 25 waliojitosa ulingoni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment