Wabunge wa Kenya katika EALA wataapishwa Jumatatu

Bunge la kitaifa jana jioni liliwachagua waakilishi tisa wa kenya katika bunge la afrika mashariki (EALA). Tisa hao walichaguliwa na wabunge wa bunge la kitaifa na lile la seneti kutoka kwa orodha ya watu 25 waliojitosa ulingoni.

Tags:

EALA Simon Mbugua kennedy musyoka Mpuri Aburi oburu oginga

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories