Wabunge wa Nasa waafikiana kuhudhuria kikao cha kuapishwa
Published on: August 30, 2017 08:22 (EAT)
Ubabe wa kisiasa unatarajiwa kudhihirika hapo kesho wakati wa ufunguzi wa bunge la kumi na mbili huku mungano wa Nasa sasa ukiafikia kuhudhuria kikao cha kulishwa kiapo lakini kususia uchaguzi wa spika. Muungano w ajubilee nao ukifanya mkutano wa kuafikia watakaowapigia upatu kwenye nafasi za uongozi wa mabunge yote mawili ili kuzuia kugawanya kura.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment