Wabunge wa NASA wageukia maombi nje ya mahakama
Published on: August 29, 2017 08:45 (EAT)
Kulitokea sokomoko nje ya Mahakama ya juu wakati baadhi ya wabunge wa muungano wa Nasa waliamua kufanya maombi na kuimba nje ya mahakama hiyo. Jaribio la wabunge hao kuungana na vinara wao mahakamani zilikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa walinda usalama kwa muda.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment