Wabunge wa ODM waunga mkono kuapishwa Odinga
Published on: January 17, 2018 08:18 (EAT)
Wabunge wa mrengo wa NASA wamefufua suala la kuapishwa kwa Raila Odinga huku hatua ya kutiwa saini barua inayolenga kuunga mkono kuapishwa kwa Kinara wa muungano huo Raila Odinga kama rais wa wananchi ikizinduliwa. Kulingana na baadhi ya wabunge chini ya muungano huo, hakuna mbunge yeyote atakayeshinikizwa kufuata mkondo wa kutia saini barua hiyo. Aidha WIPER imeshiriki kikao na kutangaza kuendelea mbele na mipango ya kubuniwa kwa bunge la wananchi katika eneo la Ukambani
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment