Wabunge wa ODM waunga mkono kuapishwa Odinga
Wabunge wa mrengo wa NASA wamefufua suala la kuapishwa kwa Raila Odinga huku hatua ya kutiwa saini barua inayolenga kuunga mkono kuapishwa kwa Kinara wa muungano huo Raila Odinga kama rais wa wananchi ikizinduliwa. Kulingana na baadhi ya wabunge chini ya muungano huo, hakuna mbunge yeyote atakayeshinikizwa kufuata mkondo wa kutia saini barua hiyo. Aidha WIPER imeshiriki kikao na kutangaza kuendelea mbele na mipango ya kubuniwa kwa bunge la wananchi katika eneo la Ukambani
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment