Wabunge wa upinzani waondoka vikaoni kwa hasira

Kulizuka kizaa zaa bungeni baada ya  wabunge wa NASA kutoka nje ya bunge kulalamikia mabadiliko tata ya sheria za uchaguzi. Hayo yamejiri baada ya wabunge wa Jubilee kupitisha hoja ya kutaka sheria hizo zipitishwe haraka iwezekanaviyo. Stephen Letoo na taarifa hiyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories