Wabunge waendelea kupinga kupunguziwa mishahara

Rais Uhuru Kenyatta amewasuta wabunge wateule wanaoshinikiza mishahara yao kuongezwa kinyume na ratba iliyotolewa na tume ya kutathmini mishahara ya umma SRC. Rais aliyeonekana kughadhabishwa na viongozi hao ameapa kamwe hatatia saini kwa sheria yoyote inayonuia kuwaongeza wabunge mapato. Haya yanajiri huku baadhi ya wabunge wateule wakizidisha kilio chao wengine wakitisha mwenyekiti wa SRC Sarah Serem achukuliwe hatua wakidai amekiuka sheria.

Tags:

SRC Mps salary

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories