Wabunge wateule wapinga pendekezo la kupunguziwa mishahara

Tume ya huduma za bunge PSC imesema haitatekeleza mapendekezo ya tume ya SRC ya kupunguza mishahara na marupurupu ya wabunge. Kwa mujibu wa mwakilishi wa wanawake wa kaunti ya Homa Bay Gladys Wanga, SRC haikutathmini kazi ya wabunge kabla ya kupunguza mishahara yao. Kwingineko IEBC hii leo imechapisha rasmi majina ya wabunge wote waliochaguliwa katika gazeti la serikali.

Tags:

IEBC SRC Gladys Wanga Parliamentary services commission

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories