Wadau wa sekta ya elimu washinikiza kuhusishwa katika mabadiliko
Published on: January 13, 2018 08:01 (EAT)
Wizara ya elimu imeongeza muda wa usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi tarehe 17 ya mwezi huu wa Januari. Hii inafuatia kujitokeza idadi ndogo ya wanafunzi waliofika kwenye shule walizoitwa ndani ya muda uliokuwa umeainishwa. Huku hayo yakijiri agizo la waziri Matiang’i la kutaka mabasi yote ya shule yapakwe rangi ya njamo linaonekana kuibua mjadala mkali kama anavyoripoti laura otieno
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment