Wafanyakazi wa KBC wagoma
Published on: August 02, 2017 08:12 (EAT)
Wafanyikazi katika Shirika la Utangazaji nchini KBC wamesusia kazi hii leo huku wakitaka nyongeza ya mishahara yao. Wafanyakazi hao wanautaka uongozi wa KBC kusaini mkataba wa maelewano kati ya pande mbili hizo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment