Wafanyakazi wa Trans Nzoia hawajalipwa mishahara

Huenda wafanyakazi wa kaunti ya Trans Nzoia wakalazimika kusubiri mishahara yao hadi mwezi Septemba mwaka huu. Kulingana na wafanyakazi hao zaidi ya 3,000 serikali ya kaunti iliwatumia barua kuwaarifu kuwa haina pesa za kuwalipa mishahara ya mwezi Juni na hofu yao ni kuwa hawana uhakika iwapo watalipwa malimbikizi ya mishahara ya miezi minne kufikia Septemba.

Tags:

TRANS NZOIA Patrick Khaemba

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories