Wafuasi wa Jubilee wasema wako tayari kupiga kura tena
Published on: September 01, 2017 08:20 (EAT)
Uamuzi wa mahakama ya juu uliwapata baadhi ya wafuasi wa chama cha jubilee kwa mshangao. Wengi katika sehemu za wafuasi hao wakionekana kuchanganyikiwa ila kuweka bayana kuwa wako tayari kwa uchaguzi mwingine kwani kura yao ni ya uhuru kenyatta. Saida swaleh na taarifa hii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment