Wafuasi wa Jubilee wazua zogo Murang’a

Sokomoko zinazidi kukumba teuzi za maafisa watakaosimamia chaguzi za mchujo za Jubilee haswa katika kaunti ambazo chama hicho kina ufuasi mkubwa. Baada ya kizaazaa kushuhudiwa katika kaunti za Kiambu, Nakuru na Kirinyaga, leo ilikuwa ni zamu ya kaunti ya Murang’a, huku wafuasi wa Gavana Mwangi Wa Iria wakikabiliana na wale wa mpinzani wake mkuu Jamleck Kamau, na kuwalazimu maafisa wa polisi kutumia nguvu kuwatawanya.

Tags:

JUBILEE muranga Mwangi wa Iria Jamleck Kamau

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories