Wafuasi wa Nasa hawako radhi na uamuzi uliotolewa
Published on: December 11, 2017 08:38 (EAT)
Siku moja baada ya NASA kutangaza kuahirisha shughuli ya kumuapisha Raila Odinga hapo kesho na badala yake kusema kuwa tarehe mpya kwa ajili ya shughuli hiyo itatangazwa baadaye, wafuasi wa mrengo huo wanaeleza kutamaushwa kwao na hatua hiyo. Ismail Ochieng, mfuasi sugu wa mrengo huo anawakilisha sauti ya Wana NASA wengi ambao kwa sasa wanaonekana kuachwa njia-panda.
Kadzo Gunga anasimulia zaidi
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment