Wafuasi wa NASA washerehekea uamuzi wa mahakama
Published on: September 01, 2017 08:09 (EAT)
Shangwe, vifijo na nderemo zilisheni katika sehemu tofauti humu nchini miongoni mwa wafuasi wa muungnano wa Nasa, kufuatia uamuzi wa mahakama ya juu nchini wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment