Wafugaji walilia serikali iwape chakula cha mifugo
Published on: January 05, 2017 09:59 (EAT)
Wafugaji kutoka kaunti ndogo ya Samburu ya kati wameitaka serikali kuu pamoja na seriklai ya kaunti kusambaza nyasi katika eneo hilo kufuatia ukame unaoendelea. kijiji kizima eneo hilo kimekuwa kikitegemea nyasi zilizopandwa katika shamba la aliyekua mbunge wa Samburu Magharibi ambapo walikuwa wakinunua kichala cha nyasi kwa shilingi mia tatu, lakini kwa sasa mbunge huyo hawauzii tena nyasi hizo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment