Wafungwa 30 waachiliwa huru katika gereza la Kamiti
Published on: October 25, 2016 09:57 (EAT)
Mfungwa aliyehusika kujenga viti vya waheshimiwa vikiwemo vile vya bunge la taifa ni miongoni mwa wafungwa 30 walioachiliwa huru katika gereza kuu la Kamiti kufuatia msamaha wa rais. Na kama anavyotufahamisha Simon Kigamba, baadhi ya wafungwa hao walibubujikwa na machozi ya furaha walipoungana tena na jamaa na marafiki zao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment