Wafungwa waliosamehewa na Rais leo waachiliwa huru

Kikundi cha pili wa wafungwa waliohukumiwa kwa makosa madogo madogo walichiliwa leo kufuatia msamaha wa rais. Rais aliagiza wafungwa hao 7, 000 wachiliwe hapo jana. Mwanahabari wetu Denis Otieno alitembea kwa baadhi ya jela hizi na kutuandalia taarifa ifuatayo.

Tags:

Rais Uhuru Kenyatta wafungwa kamiti

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories