Waganga wa wanasiasa
Published on: March 25, 2017 08:59 (EAT)
Huku kampeini za uchaguzi mkuu zikinoga, waganga wa kienyeji wameonekana kuanzisha biashara ya kuwaganga wanasiasa kwa lengo la kuwapa umaarufu wa kushinda viti mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao. Lakini kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi wengi wa waganga hao ni matapeli kwani wameonekana kubashiri mambo yasiokuwepo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment