Wagombea watatu wa urais waidhinishwa na IEBC

Wawaniaji watatu wa urais wameidhinishwa kuwa wagombeaji kaitka uchaguzi wa agosti mwaka huu wakiwemo kinara wa nasa Raila Odinga. Tume ya uchaguzi ya iebc iliwapokea wawaniaji wanne lakini ikawalazimu kumrejesha mgombeaji huru joseph nyaga baada ya kutotimiza matakwa ya IEBC.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories