Wagombea watatu wa urais waidhinishwa na IEBC

Wawaniaji watatu wa urais wameidhinishwa kuwa wagombeaji kaitka uchaguzi wa agosti mwaka huu wakiwemo kinara wa nasa Raila Odinga. Tume ya uchaguzi ya iebc iliwapokea wawaniaji wanne lakini ikawalazimu kumrejesha mgombeaji huru joseph nyaga baada ya kutotimiza matakwa ya IEBC.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories