Wagonjwa 7 waaga dunia kutokana na Malaria Baringo
Published on: October 07, 2017 08:29 (EAT)
Idadi ya watu ambao wamefariki kutokana na maradhi ya Malaria huko kaunti ya Baringo imeongezeka baada ya watu saba kuaga dunia, jumla ya waliofariki sasa ikifika ishirini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment