Wagonjwa wateseka katika hospitali za umma
Published on: July 01, 2017 08:01 (EAT)
Mtazamaji ni siku 26 tangu mgomo wa wauguzi kuanza kote nchini. Wagonjwa wameendelea kuhangaika katika vituo vya afya hali ambayo imesababisha wagonjwa kutafuta huduma katika hospitali za kibinafsi ila kwa taabu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment