Wagonjwa wateseka katika hospitali za umma

Mtazamaji ni siku 26 tangu mgomo wa wauguzi  kuanza kote nchini. Wagonjwa wameendelea kuhangaika katika vituo vya afya hali ambayo imesababisha wagonjwa kutafuta huduma katika hospitali za kibinafsi ila kwa taabu.

Tags:

Seth Panyako Nurses strike mgomo wa wauguzi wauguzi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories