Wahadhiri watangaza kususia kazi kuanzia hii leo
Published on: November 01, 2017 08:05 (EAT)
Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini wametangaza kuanza rasmi mgomo wao hii leo na kudai serikali iliwachezea shere baada ya kuwaahidi kuwalipa mishahara na marupurupu yao. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Makori Ongechi, hatua hiyo inakuja wakati ambapo vyuo vikuu vililenga kurejelea masomo yao baada ya kufungwa kwa kipindi kifupi kutokana na zoezi la marudio ya kura za urais
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment