Wahalifu wageukia wanawake kama chambo, kudhuru wanabodaboda
Published on: September 23, 2017 08:24 (EAT)
Wahudumu wa pikipiki katika maeneo ya Malindi na Magarini kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali kuwapa ulinzi wa kutosha kufuatia mauaji ya kiholela. Jumla ya wahudumu wa pikipiki 11 wameuliwa kinyama katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment