Wahalifu wageukia wanawake kama chambo, kudhuru wanabodaboda

Wahudumu wa pikipiki katika maeneo ya Malindi na Magarini kaunti ya Kilifi wanaitaka serikali kuwapa ulinzi wa kutosha kufuatia mauaji ya kiholela. Jumla ya wahudumu wa pikipiki 11 wameuliwa kinyama katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

Tags:

malindi Kilifi Magarini wanabodaboda zomolo wanje

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories