Wahalifu wavamia kanisa na kuwajeruhi watu, Kakamega
Published on: September 16, 2017 10:11 (EAT)
Wakazi zaidi ya watano katika kijiji cha Ejinja kaunti ya Kakamega walijeruhiwa vibaya baada ya kushambuliwa na watu waliokuwa wamebeba silaha. wavamizi hao waliwashambulia kwa mapanga na kuwakatakata kichwani huku wakichukua vitambulisho vyao na raslimali nyingine.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment