Wahudumu 2 wa KQ wakamatwa na mihadarati JKIA

Wafanyakazi watatu wa shirika la ndege la Kenya Airways wamekamatwa kutokana na madai ya kuhusika katika ulanguzi wa dawa za kulevya. Watatu hao wakiwemo wahudumu wawili wa ndege za shirika hilo na mhudumu kitengo cha mizigo cha kampuni hiyo walinaswa majira ya saa mbili asubuhi ndani ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta.

Tags:

Kenya Airways kq drugs trafficking

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories