Wahudumu 2 wa KQ wakamatwa na mihadarati JKIA
Published on: November 02, 2017 08:22 (EAT)
Wafanyakazi watatu wa shirika la ndege la Kenya Airways wamekamatwa kutokana na madai ya kuhusika katika ulanguzi wa dawa za kulevya. Watatu hao wakiwemo wahudumu wawili wa ndege za shirika hilo na mhudumu kitengo cha mizigo cha kampuni hiyo walinaswa majira ya saa mbili asubuhi ndani ya uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment