Waislamu wajiandaa kwa Siku Kuu ya Eid-Ul-Adha

Zaidi ya waumini millioni mbili wa dini ya kiislamu wanahudhuria ibada ya Hajj katika mji mtakatifu wa Makkah nchini Saudi Arabia.
Hii leo waumini hao wamekongamana pamoja katika Mlima wa Arafa , huku wale waliokosa kuhiji wakifunga.
Hajj ni nguzo ya tano ya kiislamu kulingana na mafundisho ya dini hiyo na hufuatwa na sikuukuu ya Eid Ul A

Tags:

Eid-Ul-Adha

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories