Wajue kabila la Ogiek

Wamedharauliwa kwa zaidi ya miongo mine, mtazamaji sio wengine bali watu kutoka jamii ya waogiek…
Baada ya kushinda kesi iliyobaki mahakamani kwa zaidi ya miaka ishirini hakuna kilichobadilika licha ya korti hiyo kuamuru kuwa warejeshewe kilicho chao.
Mwanahabari saida swaleh alikutana nao na kutuandalia makala ifuatayo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories