Wajumbe MCA Wamuunga Mkono Kalonzo

Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amepata kuungwa mkono na baadhi ya wanachama wa bunge za kaunti za Machakos na Makueni katika uamuzi aliochukuwa wa kuwaondoa kutoka nyadfa za viongozi wa waliowengi Francis Mutuku na Joshua Monga. Wanachama hao wanasisitiza kuwa lazima msimamo wa chama ufuatwe na yeyote anayekiri kuwa mwana Wiper.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories