Wakaazi wa Kayole walalamikia kufungiwa barabara
Published on: October 21, 2016 10:36 (EAT)
Hali ya taharuki imeshuhudiwa mapema hii leo katika mtaa wa Kayole, hapa jijini Nairobi baada wakaazi wa eneo hilo kuandamana na kufunga barabara ya mzunguko ya kuelekea katika mji wa Nairobi kupitia upande wa mashariki na kukatiza shughuli za kibiashara na usafiri wakilalamikia kufungwa kwa barabara moja eneo hilo na majeshi kutoka katika kambi ya Embakasi kwa madai ya kuwa barabara hiyo ilikuwa imejengwa katika ardhi yao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment