Wakazi mtaani Zimmerman wamo hatarini ya kuporomokewa na majumba
Published on: August 23, 2017 08:55 (EAT)
Mamia ya wakazi wa mtaa wa zimmerman wanakodolea macho kuangamia kutokana na athari ya majumba wanamoishi kuporomoka. Hii inatokana na kuanzishwa kwa ujenzi wa jumba jingine ambalo limekuwa likijengwa katika sehemu hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment