Wakazi wa eneo la jima walioshambuliwa na kundi la kigaidi la al-shabab wameanza kuhama makwao
Published on: July 09, 2017 08:36 (EAT)
Wakazi wa eneo la jima walioshambuliwa na kundi la kigaidi la al-shabab wameanza kuhama makwao na kukimbilia maeneo wanayodhani ni salama. Haya ni baada ya watu tisa kuuliwa kinyama na kundi hilo na huku wengine wakidaiwa kutoweka.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment