Wakazi wa Magarini kaunti ya Kilifi wahangaishwa na viboko
Published on: October 07, 2017 08:35 (EAT)
Wenyeji wa eneo la Sabaki Magarini kaunti ya Kilifi, wanaishi kwa hofu kutokana na hatari ya kuwepo viboko wanaowahangaisha vijijini. Viboko hao wamekuwa kero kwa wakulima na usalama wa chakula, kwani wanaharibu mimea shambani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment