Wakazi wa Nairobi wanahangaika kupata unga
Published on: June 09, 2017 08:06 (EAT)
Haya yanajiri huku mengi ya maduka ya rejereja sawa na yale ya jumla humu nchini yakiandikisha uhaba wa unga wa mahindi.
Runinga ya Citizen iliweza kuwahoji baadhi ya wauzaji na wateja wao na walikuwa na haya ya kusema.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment