Wakazi wa Nyali, Mombasa waandamana
Published on: June 15, 2017 09:02 (EAT)
Wakaazi wa Nyali huko Mombasa wameandamana wakipinga madai ya mwanabiashara mmoja kunyakua ardhi ya nusu ekari ambayo imekuwa ikitumika kwa miaka mingi kama makaburi ya uma.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment