Wakazi wa Nyali, Mombasa waandamana

Wakaazi wa Nyali huko Mombasa wameandamana wakipinga madai ya mwanabiashara mmoja kunyakua  ardhi ya nusu ekari ambayo imekuwa ikitumika kwa miaka mingi kama makaburi ya uma.

Tags:

Mombasa nyali

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories