Wakazi wa Nyali, Mombasa waandamana
Published on: June 15, 2017 09:02 (EAT)
Wakaazi wa Nyali huko Mombasa wameandamana wakipinga madai ya mwanabiashara mmoja kunyakua ardhi ya nusu ekari ambayo imekuwa ikitumika kwa miaka mingi kama makaburi ya uma.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment