Wakazi wa Turkana hatarini ya kushambuliwa na mamba wanapovuka Mto Turkwel
Published on: May 13, 2017 08:44 (EAT)
Wakazi zaidi ya elfu kumi wanaoishi katika vijiji vya Nakwomoru,Kapelbok, Juluk na Lomerimudang huko Turkana Kusini, wanaendelea kuhatarisha maisha wanapovuka mto Turkwell wenye mamba wengi.
Daraja la mto huo lilisombwa na mafuriko na hivyo inawabidi wakazi kuongelea hadi ng’ambo ya pili wakivuka mto huo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment