Wakazi wa Turkana watembea kilomita 50 kusaka maji

Makali ya njaa na kiu yanazidi kuwaathiri wakazi wa Kaunti ya Turkana, hali
hii imeendelea kuwa mbaya kufuatia ukame unaoshuhudiwa katika maeneo ambayo hupata mvua chache. Wakazi wengi wanatembea mwendo wa masafa marefu kutafuta maji. Mwanahabari wetu Emmanuel Cheboit anatupasha zaidi kutoka Turkana.

Tags:

turkana ukame Kiangazi njaa maji uhaba wa maji Ukosefu wa maji

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories