Wakazi wa Uasin Gishu wakemea wabunge kwa kuitisha mshahara mnono

Mjadala kuhusu kuongezwa au kupunguzwa kwa mishahara ya wabunge unazidi kutokota. Na kama anavyotufahamisha John Wanyama, Wakazi wa kaunti ya Uasin Gishu wanawaona wabunge kama walafi wasiojali maslahi ya mwananchi aliyewachagua.

Tags:

Gathoni Wamuchomba MPs pay Gladtys Wanga mishahara ya wabunge

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories