Wakazi waanza kuwafuga punda badala ya ngombe, Kisumu
Published on: October 15, 2016 10:27 (EAT)
Akili ni nywele na kila mtu ana zake, ndivyo wasemao husema. Yaelekea kuwa wakazi kwenye mpaka wa Nandi, Kericho na Kisumu wamegundua mbinu mpya ya kupunguza wizi wa mifugo baina yao na majirani zao. Wakazi hao sasa wameamua kufuga punda badala ya ng’ombe. Wanaafiki kuwa hatua hiyo imechangia kupunguza wizi wa mifugo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment