Wakazi wachoma mali ya mshukiwa wa mauaji
Published on: November 03, 2017 08:31 (EAT)
Wakazi wenye ghadhabu wameteketeza mali yenye thamani ya mamilioni ya pesa ya mama mshukiwa wa mauaji huko Bikeke eneo bunge la Kiminini kaunti ya Trans Nzoia. Mama huyo anatuhumiwa kumuua kijana aliyekuwa mfanyakazi wake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment