Wakenya 4 waliofungwa Sudan Kusini walirejeshwa nchini
Published on: December 07, 2017 08:12 (EAT)
Wakenya wanne waliofungwa nchini sudani Kusini kwa madai ya kujaribu kuilaghai serikali ya nchi hiyo, kisha wakaachiliwa huru, hatimaye wameungana na familia zao humu nchini. Hata hivyo serikali ya Kenya imewaonya watu wote wanaotafuta kazi za ughaibuni kujadiliana na wizara ya maswala ya ndani kabla ya kutoka nje ya nchi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment